Inne utwory od Marioo
Inne utwory od Bien
Opis
Autor: Mario
Autor: Bien
Producent: Kanibal
Kompozytor: Marioo
Kompozytor: Bien
Tekst i tłumaczenie piosenki
Oryginał
Uuh-uuh, yeah, kutoka alooh
Mmh (it's Kaniba)
Nilikutana naye Kilimani, Nairobi
Elfu mbili na kumi na tano
Kibaridi cha asubuhi, kijua flani sio kikali saa tano
Ooh, Nairobi, elfu mbili na kumi na tano, oh
Nikamchagua yeye katikati ya wenzake watano
Ah, nikamuomba akaniomba namba
Moyoni mwangu nikampa moja
She's my number, ah, number, ah moja
Nikamuomba akaniomba namba
Moyoni mwangu nikampa moja
Now she's my number, ah, number, ah, moja
Yani namaanisha kwamba
Ndio tushaoana
Ndio tushaoana
Tushaoana
Ndio tushaoana
(Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah)
(Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah)
Tulipatana Bongo, Mikocheni
Niko zangu beach nala upepo wa bahari
Alinipita kama meli
Anayumbayumba akidondosa kishenzi
Ooh, Mikocheni nikamfata utadhani zombie
Habari gani mbona uko lonely
Jina ni gani akasema Zari
Nikamwambia aje (aje)
Nikamwambia kwangu ni kwake
Nimshike wapi ndio aje
Nataka moyo wangu uwe wake
Watangoja sana
Wakidhania tutaachana
Mi' na yeye tumeshaivana
Naichapa usiku na mchana
Aiyaiyayah, aah
Yani namaanisha kwamba
Ndio tushaoana
(Tushaoana na yeye sa' ni mi' tu na yeye)
Tushaoana
(Tushaoana na yeye, eh, sa ni mi tu na yeye)
Ndio tushaoana
Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah
Ndio tushaoana
Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah-ah
Oh, yeah, tushaoana
Ooh, alooh!
Tłumaczenie na język polski
Uuh-uuh, tak, kutoka alooh
Mmh (to Kaniba)
Nilikutana na Kilimani, Nairobi
Elfu mbili na kumi na tano
Kibaridi cha asubuhi, kijua flani sio kikali saa tano
Och, Nairobi, elfu mbili na kumi na tano, och
Nikamchagua yeye katikati ya wenzake watano
Ach, nikamuomba akaniomba namba
Moyoni mwangu nikampa moja
Ona jest moim numerem, ach, numerem, ach moja
Nikamuomba akaniomba namba
Moyoni mwangu nikampa moja
Teraz ona jest moim numerem, ach, numerem, ach, moja
Yani namaanisha kwamba
Ndio tushaoana
Ndio tushaoana
Tushaoana
Ndio tushaoana
(Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ach)
(Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ach)
Tulipatana Bongo, Mikocheni
Plaża Niko Zangu nala upepo wa bahari
Alinipita kama meli
Anayumbayumba akidondosa kishenzi
Och, Mikocheni nikamfata utadhani zombie
Habari gani mbona jest samotny
Jina ni gani akasema Zari
Nikamwambia aje (aje)
Nikamwambia kwangu ni kwake
Nimshike wapi ndio aje
Nataka moyo wangu, obudź się
Watangoja San
Wakidhania tutaachana
Mi'na yeye tumeshaivana
Naichapa usiku na mchana
Aiyaiya, aah
Yani namaanisha kwamba
Ndio tushaoana
(Tushaoana na yeye sa' ni mi' tu na yeye)
Tushaoana
(Tushaoana na yeye, eh, sa ni mi tu na yeye)
Ndio tushaoana
Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ach
Ndio tushaoana
Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ach-ach
O tak, Tushaoana
Och, alo!